KUMJUA MUNGU
Kila kizazi cha Wakristo lazima kijiangalie kutambua ikiwa dhamira na matendo yake ni ya kumheshimu Mungu. Inabidi tujiulize kila wakati, “je! Bado tunamtumikia Bwana na jirani yetu kwa uaminifu na kwa kujitolea? Au tumeingia katika mawazo ya 'nibariki'?"