KUKATAA KUWA KIMYA KATIKA SALA
Endelea kuwa na nguvu wakati Mungu anaonekana kuwa kimya, kwa kuwa ushindi bado ni wako. Haijaondolewa kutoka kwako; haujatemwa kutoka kwa uzima wa Mungu kwa sababu ya makosa machache unakumbana nayo katika safari, kwa hilo sivyo Mungu anavyofanya. Erekeya tu kwake kama mfalme Daudi alivyofanya - kwa moyo wako wote.