Body

Swahili Devotionals

KUKATAA KUWA KIMYA KATIKA SALA

Carter Conlon

Endelea kuwa na nguvu wakati Mungu anaonekana kuwa kimya, kwa kuwa ushindi bado ni wako. Haijaondolewa kutoka kwako; haujatemwa kutoka kwa uzima wa Mungu kwa sababu ya makosa machache unakumbana nayo katika safari, kwa hilo sivyo Mungu anavyofanya. Erekeya tu kwake kama mfalme Daudi alivyofanya - kwa moyo wako wote.

WATU WENYE NEEMA

David Wilkerson (1931-2011)

Mfalme Daudi mara nyingi alionyesha huzuni na mapambano yake: "Ningekuwa na mabawa kama njiwa! Ningerukia mabali na kustarehe. . . . Ningefanya haraka kuzikimbia" (Zaburi 55: 6 na 8). Wakati mwingine huzuni za Daudi zilimuendesha hadi kutoka machozi na anaonyesha wazi kwamba alikuwa na tamaa.

LAKINI NITAAMINI MUNGU

David Wilkerson (1931-2011)

Mwandishi wa Waebrania anatuambia, "Kwa kuwa hamna kuwani mkuu asiyeweza kuchukuana nasi katika mambo yetu ya udhaifu; bali yeye alijaribiwa sawasawa na sisi katika mambo yote, bila kufanya dhambi" (Waebrania 4:15).

KUKAA IMARA

David Wilkerson (1931-2011)

Sisi ni viumbe wenye tabia sawa. Tunasimama kwa saa moja, kula chakula kwa kinywa kimoja, kufanya udeleva sawa kwa kwenda mahali pa kazi zetu na kusikiliza kituo hiki cha redio wakati tunakwenda na kurudi. Tunakabiliwa na kurudia usio na mwisho katika utaratibu wetu wa kila siku. Hiyo ni maisha tu. Ingawa haiwezi kuonekana kama hivyo wakati mwingine, kuna ukuaji wa kweli na kukua kwa kuwa muaminifu na mwenye majukumu siku kawa siku, wiki kwa wiki, mwaka kwa mwaka.

SAUTI ZENYE KUSHITAKI

Gary Wilkerson

Wakati mwingine mimi huamka katikati ya usiku nikiwa na wasiwasi unaozunguka bure. "Mshtaki wa wa ndugu" ananongoneza, "Wewe sio mzuri; huna maana, uko mzigo kwa wengine. Angalia historia yako, ni mara ngapi umeshutumu." Shetani anapenda kuwatesa Wakristo lakini wakati Yesu alipokuja, alisema. "Hilo linaisha sasa!" Kisha anaongeza mushangao wa kuhakikisha: "Msidhani kwamba mimi nitawashitaki kwa Baba" (Yohana 5:45).

MAISHA YENYE UPENDO

Jim Cymbala

Watoto wanapozaliwa, wafanyakazi wa hospitali huangalia harama fulani muhimu. Kupumua vizuri, mulio mkubwa, uzito wa kutosha ni viashiria vyote vya afya ya kimwili ya mtoto mchanga. Vivyo hivyo, ishara muhimu za kiroho zinaweza kutuambia jinsi tulivyo na afya. Na ishara muhimu zaidi ya yote ni upendo.

Tunapokuwa waamini wa kuzaliwa tena katika Yesu Kristo, tunapata moyo mpya na roho mpya. Hii haina udogo wa Roho wa Kristo anayeishi ndani yetu. Bila Yeye, hakuna uzoefu wa Kikristo wa kweli. "Lakini mtu awaye yote asipokuwa na roho wa Kristo, huyo si wake" (Warumi 8:9).

UNAJISIKIAJE?

David Wilkerson (1931-2011)

Wakristo wengi hufafanua maisha yao ya kiroho kwa njia wanayojisikia na wanaamini kuwa hawana kukua kiroho. Wao huhudhuria kanisani mara kwa mara, kusikia Neno la Mungu likihubiriwa, wakisoma Biblia zao, na kuomba kwa bidii. Lakini wanahisi kwamba hawana maendeleo mengi. Mtakatifu mmoja alininiambia, "Nilikuwa nalia kwa urahisi mbele ya Bwana lakini sasa mimi si kama mwenye huruma kama nilivyokuwa. Mimi si kukua tu."

ONGEZEKO LA MARA KWA MARA

David Wilkerson (1931-2011)

Mtume Paulo aliwahakikishia Wathesalonike namna wamejifunza jinsi ya kupendeza wakitembea mbele za Bwana. "Kama mlivyopokea kwetu jinsi iwapasavyo kuenenda na kumpendeza Mungu" (1Thesalonike 4:1). Paulo alikuwa ameanza kwa kuhimiza hili: "Ili uweze kujaa zaidi na zaidi" (mstari huo).

Kuongezeka kuna maana ya kuongezeka. Paulo alikuwa anasema, "Umekuwa ameketi chini ya kuhubiri injili nzuri ili uwe na msingi thabiti chini yako. Kwa hiyo, unahitaji kuongezeka kwa neema katika vitu vyote - katika imani yako, ujuzi wako, upendo wako."

UTULIVU NA UJASIRI

David Wilkerson (1931-2011)

Siri ya Mungu kwa nguvu ya kiroho inapatikana katika Isaya 30:15: "Kwa kurudi [kwangu] na kustarehe mtaokolewa; nguvu zenu zitakuwa katika kutulia na kutumaini."