KULEMEWA NA MZIGO ZAIDI YA KIPIMO
"[Mungu] aliyetuokowa sisi katika mauti kuu namna ile; tena atatuokoa; amabaye tumemtumaini kwamba atazidi kutuokoa" (2 Wakorintho 1:10).
Paulo anasema hapa juu ya nguvu za Mungu za kutoa - zamani, sasa na baadaye! Anasema, "Mungu ametuokoa katika siku za nyuma, yeye anatuokoa sasa, na atatuokoa katika shida na majaribio yote ya baadaye. Hatuezi kuwa naoga wakila kitu chochote kinachokuja kwa njia yetu kwa sababu tunamjua Mungu atatuokoa!"