SIRI YA UWEPO WA MUNGU
Katika Zaburi 31, Daudi anatujulisha maneno “siri ya kuwapo kwako.” Anaandika, “Oh, jinsi wema wako ulivyo mkuu, uliowawekea wakuchao, uliowaandalia wakutumainiao mbele ya wanadamu! Utawaficha mahali pa siri pa uwepo wako, na vitimbi vya wanadamu; utawaweka kwa siri katika hema na mashindano ya ndimi” (Zaburi 31:19-20).