KUMPENDA YESU KWA MALIPO
Acha nikupe moja ya mistari yenye nguvu zaidi katika maandiko yote. Mithali hutupatia maneno haya ya kiunabii ya Kristo: “Kisha nalikuwa karibu naye kama fundi stadi; Nami nilikuwa furaha yake kila siku, nikifurahi mbele zake sikuzote, nikiufurahia ulimwengu wake, na furaha yangu ilikuwa pamoja na wanadamu” (Mithali 8:30-31).