KUSHIKAMANA NA YESU KWA MOYO WAKO WOTE
"Basi petro na Yohana walikuwa wakienda pamoja kwanda hekaluni, saa ya kuomba, saa tisa. Na mtu mmoja alieyekuwa kiwete toka tumboni mwa mamaye ... ili aombe sadaka ... Lakini Petro akasema, "Mimi sina fedha, wala dhahabu, lakini nilicho nacho ndicho nikupacho. Kwa jina la Yesu Kristo wa Nazareti, Simama uende ... na mara moja [miguu ya mtu] na nyayo zake na vifundo vya miguu yake vikatiwa nguvu. Na akainuka upesi, akasimama na kuanza kutembea" (Matendo 3:1-2, 6-8).