USHINDI AMBAO UNAONEKANA KAMA KUSHINDWA
Tunasoma katika Neno la Mungu kwamba katika siku za mwisho, dhambi zitaongezeka na upendo wa wengi utakua baridi. Ni nani anayeweza kukataa kwamba hii inafanyika leo? Jamii inaendelea kuzunguka ndani ya giza la karibu kila siku, na inaweza kukuwa baridi kwa kila aina ya upendo. Mwishowe, Wakristo wengi wataishia kuvunjika moyo; kwa kweli, wengine tayari wamevunjika moyo.