KUPANDWA NA KUOTA MIZIZI KATIKA UPENDO
"Mwenende katika upendo, kama vile Kristo alivyotupenda ninyi tena akajitoa mwenyewe kwa ajili yetu" (Waefeso 5:2). Mtume Paulo alikuwa akiwahimiza Waefeso hapa, "Yesu anawapenda sana, kwa hivyo tembea kama mtu anayependwa sana na Mungu!"