USHINDI JUU YA USHINDI
Wakristo wengi wanapigana na vizuizi vikubwa katika maisha yao. Inaweza kuwa upotezaji wa kazi, ndoa yenye mkazo, mpendwa amabaye ni mgonjwa, au mtoto anayepambana na imani. Lakini haijalishi mambo yanaweza kuonekana mabaya, Mungu yuko katikati ya maisha ya wale wanaompenda na wanaomwamini.