ACHA YESU AWE KILA KITU KWAKO
Bwana anatamani urafiki na watoto wake mpendwa. Anatamani kujifungia peke yake pamoja na upendo wa moyo wake. "Unapoomba, ingia katika chumbani chako, na ukisha kufunga mlango wako, omba kwa Baba yako aliye katika mahali pa siri; na Baba yako aonaye kwa siri atakuzawadiya kiwazi” (Mathayo 6:6).