Body

Swahili Devotionals

KUANGAZIA SANA KATIKA MAJARIBIO YETU

David Wilkerson (1931-2011)

"Mfanyieni Bwana shangwe, dunia yoye! Mumtumikia Bwana kwa furaha" (Zaburi 100:1-2).

"Wenye haki hufurahi; Na kushangilia mbele za Mungu; Naam, hupiga kelele kwa furaha" (Zaburi 68:3).

"Nao wote wanaokukimbilia watafurahi; Waache wapige kelele za furaha, kwa kuwa wewe unawahifazi; Walipendalo  jina lako watafurahia" (Zaburi 5:11).

UWEZO WA MOYO USIOAMINI

David Wilkerson (1931-2011)

Wakati wana wa Israeli walipookolewa kutoka Misri na kuvuka Bahari Yashamu, imani yao ilikuwa juu wakati wote. Waliimba, wakicheza na kupiga kelele sifa za Mungu kwa kufunulia mkono wake wenye nguvu wa ukombozi. "Bwana ni nguvu zangu, na wimbo wangu ... Ee Bwana mkono wako wa kuume umepa ... Bwana atatawala milele na milele" (Kutoka 15:2, 6, 18).

UPUMZIKO MZURI KATIKA BWANA WANGU

David Wilkerson (1931-2011)

"Mbele za uso wako ziko furaha; na katika mkono wako wa kuume mna mema ya milee" (Zaburi 16:11).

Wakristo wanaongezeka zaidi kwa kutopendezwa na jinsi mambo yalivyo duniani na katika kanisa. Watakatifu hawa wanasema, "Mungu ana kitu zaidi kwetu! Anatuita tujue yeye vizuri na tunataka kutembea katika utii kwa wito huo." Wao wanaanza kufunga na kuomba katika jitihada zao kwa kina kirefu kiroho.

MASAA YA UDHAIFU MKUBWA ZAIDI

Gary Wilkerson

"Ninamshukuru Mungu wangu kila niwakumbukapo, siku zote kila niwaombeapo ninyi nyote nikisema maombi yangu kwa furaha, kwa sababu ya ushirikiano wenu katika kuineza Injili, tangu siku ile ya kwanza hata hivi sasa. Nami niliaminilo ndilo hili, ya kwamba yeye aliyeanza kazi nzuri ndani yenu ataimaliza hata siku ya Yesu Kristo; vile vile kama ilivyo wajibu wangu kufikiri haya juu yenu nyote; kwa sababu ninyi mmo moyoni mwangu; kwa kuwa katika kufungwa kwangu na katika kazi ya kutetea Injili na kuithisbitisha, ninyi nyote mmeshirikiana name neema hii.

JE! UNAKUA KIROHO?

Jim Cymbala

Mungu hajali nia ya kile "tunachofanya" kwa ajili yake kama vile tunavyokuwa na matunda ya kiroho. Na roho yake tu katika kazi ndani yetu inaweza kuzalisha tabia ya kimungu anayetaka. Fikiria sala ya Paulo kwa waumini wa Kolosai: "Mwenende kama ilivyo wajibu wenu kwa Bwana kustahili mkimpendeza kabisa; mkizaa matunda kwa kila kazi njema, na kukua katika maarifa wa Mungu" (Wakolosai 1:10).

WEKA MAHITAJI YAKO KWA MUNGU

David Wilkerson (1931-2011)

"Bali utafuteni kwanza ufalme wa Mungu, na haki yake; na hayo yote mtazidishiwa. Kwa hiyo msisumbukie ya kesho; kwa kuwa kesho itajisumbukia mambo yake yenyewe. Yatosha kwa siku maovu yake mwenyewe" (Mathayo 6:33-34).

Imani ya kudumu ni kuweka vitu vyote katika mikono ya Mungu. Imani ya kudumu inaambia Bwana, "Mimi hutoa kila tukio, kila huduma, mikononi mwako. Na ninawahimiza ahadi yako ya kufanya yote uliyo nayo - yote yako ya ujuzi na uwezo wa nguvu - kunilinda."

KUPIGANA HISIA ZISIZOHITAJIKA

David Wilkerson (1931-2011)

Hisia zako hakika haziathiri wokovu wako au uhusiano wako na Bwana. Zanaweza kujaribu kukudanganya au kukuiba amani na furaha yako katika Kristo; yanaweza hata kukunyanyasa au kukulaumu. Lakini ni wakati wako wakugundua baadhi ya hisia za kutenganisha kama ni ujumbe kutoka kwa adui, kwa kuwa na nia ya kukuangusha chini ili ukate tamaa na uwe na hofu.

TUZO YENYE THAMANI YAKE YOTE

David Wilkerson (1931-2011)

"Hebu tukimbie kwa uvumilivu katika yale mashindano yaliyowekwa mbele yetu" (Waebrania 12:1). Neno nzuri linapendekeza mashindano. Watu wa Mungu wanafananishwa na wakimbiaji katika mbio ya ndefu, wakipiginia tuzo - tuzo ni ufunuo wa utukufu wa ujuzi wa Yesu Kristo.

Tunaharibu mbio kwa kuelekea milele wakati watu wa Mungu wanashindana wao kwa wao kwa ajili ya mafanikio, utajili na sifa. Kristo huwa chochote zaidi kuliko mdhamini, kwa kuwa wakimbiaji wote wanasema kuwa wanashindana kwa jina lake.

MUNGU ALITUMA MGAWANYIKO

Gary Wilkerson

Je! Umewahi kupitia wakati katika maisha yako ambapo hausikii tena njaa ya vitu vya Mungu? Ushawishi huo, mageuzi hao, bidii hiyo ya kumjua alishamili  kwa sababu kila kitu katika maisha yako kilikuwa vizuri sana; mawazo yako anshugulikia mabo ya kidunia. Ikiwa hii inatumika kwako, ni wakati wa kuangalia kupitia ufungamano wa milele wa Mungu na kufahamu picha ya kitu kikubwa zaidi kuliko wewe mwenyewe.