KUANGAZIA SANA KATIKA MAJARIBIO YETU
"Mfanyieni Bwana shangwe, dunia yoye! Mumtumikia Bwana kwa furaha" (Zaburi 100:1-2).
"Wenye haki hufurahi; Na kushangilia mbele za Mungu; Naam, hupiga kelele kwa furaha" (Zaburi 68:3).
"Nao wote wanaokukimbilia watafurahi; Waache wapige kelele za furaha, kwa kuwa wewe unawahifazi; Walipendalo jina lako watafurahia" (Zaburi 5:11).