Body

Swahili Devotionals

HAMU YA KUONDOKA

David Wilkerson (1931-2011)

Miili hii ya kifo ni yetu tu ya ukingo na maisha sio katika ukingo. Ni kifungo cha muda ambacho kinahusisha nguvu ya maisha ya milele inayoongezeka, na ya matendo kama mlezi wa muda mfupi wa maisha ya ndani. Ukingo ni ufananisho kwa kulinganisha na maisha ya milele inaovaa.

MABAKI YA MASHUJAA

David Wilkerson (1931-2011)

Kuna habari njema kwa kila Mkristo ambaye amekata tamaa kwa kutokuepo kwa shauku na mambo ya kiMungu katika taifa hili. Bila kujali jinsi uovu na uharibifu jamii hii unakuwa, na jinsi Wakristo wengi wanavyozingatia na kuanguka katika dhambi, Mungu bado ana mabaki ya mashujaa ya wafuasi waliojitenga.

UJUMBE MKUBWA KATIKA MAISHA

Nicky Cruz

Familia za leo - zote za Kikristo na zisizo za Kikristo - ziko chini ya shinikizo kubwa la kujifananisha maoni ya kijamii. Wote wazazi na watoto wanapigana chini ya matatizo ya kicha cha ulimwengu na dhambi na majaribu. Wakati mwingine inaonekana tunapigana vita kwa kushikilia upande mmoja, kaa katika vita, pambana juu ya uaminifu wa familia - na pigana juu ya roho za watoto wetu.

KUMPENDA MUNGU NI KUMTUMAINI

David Wilkerson (1931-2011)

"Mmoja wa [Mafarisayo], mwanasheria, akamwuliza swali, akamjaribu, akisema, 'Mwalimu, katika torati ni amri ipi iliyo kuu?' Yesu akamwambia, Mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote, kwa roho yako yote, na kwa akili zako zote. Hii ndiyo amri iliyo kuu, tena ya kwanza na kubwa. Na ya pili ya fanana nayo, nayo ni hii, Mpende jirani yako kama wewe mwenyewe." Katika amri hizi mbili hutegemea Torati na manabii." (Mathayo 22:35-40).

TATIZO KWA SIKU MOJA

David Wilkerson (1931-2011)

Mojawapo ya maneno mabaya zaidi katika lugha yoyote ni siku moja. Inasisitiza kutotimzwa kwa matumainii na ndoto ya kizazi hiki chote. Wengi wamefungwa, upekwe, huzuni, wamevunjika moyo, wamekataliwa, wakisubiri muujiza kutokea. Lakini hakuna kitu kitatokea isipokuwa kuchukua hatua za kufanya hivyo hicho kutokeya.

NJAA YA KUKATISHA TAMAA KWA AJILI YA MUNGU

David Wilkerson (1931-2011)

Tunaona changamoto kamili kwa upeo wetu katika mstari mmoja wakati Yesu anatuita sisi kuacha mduara wetu mdogo na kubadilishwa kuwa ufalme wa utukufu wa uhuru na manufaa. "Yeye ayependaye maisha yake atayapoteza, naye anayechukia maisha yake katika ulimwengu huu atayasalimisha kwa uzima wa milele" (Yohana 12:25). Kwa mara nyingi Yesu anatuita, "Dunia yako ni ndogo mno; kuomba maisha makubwa zaidi na yenye maana zaidi."

KULINDWA KUTOKA KUANGUKIA NJE

David Wilkerson (1931-2011)

Mtume Paulo anazungumzia uasi mkubwa unaokuja duniani katika siku za mwisho. Je, uasi ni nini? Ni "kukataa ukweli ilioaminiwa na kutangazwa."Kwa ufupi, ni kuangukia mbali na ukweli wa Mungu. Paulo anaandika juu ya uasi unaokuja: "Basi, ndugu, tunakusii kwa habari ya kuja kwake Bwana wetu Yesu Kristo na kukusanyika kwetu mbele zake, kwamba msifadhaishwe upesi hata kuiacha nia yenu, wala msisitushwe, kwa roho, wala kwa neno ... kwamba siku ya Kristo imekwisha kufika.