Body

Swahili Devotionals

KILIO KATIKA IMANI

Gary Wilkerson

Wakati uwepo wa Mungu unakosekana katika maisha ya mtu, vitu haviko katika hari nzuri kwa sababu hakuna sheria, uongozi au mafundisho ya haki ili kutumika kama miongozo ya kuishi. Kila mtu anakuwa sheria kwa nafsi yake, akifanya jambo lake mwenyewe. Kwa kusikitisha, hii ni picha ya nyumba nyingi za Kikristo leo. Hakuna amani au mapumziko kwa sababu kila mtu anafanya chochote anachopenda. Vulugu hii inaumiza saana Bwana, hata hivyo haifai kuwa hivyo. Uwepo wa Mungu huleta utaratibu na ahadi zake hazibadiliki. Neno la Mungu linaahidi, "Ikiwa utanitafuta, nitakuwa pamoja nanyi.

JE, UNAPATIKANA KWA MATUMIZI YA MUNGU?

Nicky Cruz

Je! Wangapi wetu tunaelewa kweli maana ya kutembea katika Roho wa Mungu, kuishi na mateso ya Yesu, kumtegemea Mungu kwa imani ambayo ni ghafi na ya kweli na yenye nguvu? Imani ambayo haijui mipaka na hofu hakuna? Imani ambayo inaweza kumtazama kwa wima shetani machoni na kusema, "Huwezi kwenda mbari! Huna udhibiti zaidi juu yangu! Wewe ni dhaifu na wazi na hauwezi! "Imani ambayo inaweza kusongeza mlima wowote, bila kujali jinsi ya urefu, upana au ugumu wake. Hata hivyo ni aina ya imani ambayo Mungu anadai kwa wale wanaotaka kuona nguvu zake.

NANGA YA IMANI YETU

David Wilkerson (1931-2011)

Mstari mmoja wa Neno la Mungu utakuifazi kupitia nyakati yoyote na za hatari ikiwa utaukumbatiya kwa maisha yako yote. Mpendwa, karibisha mstari huu mmoja, uwuamini kabisa, na utakuwa chanzo cha nguvu za kila siku za imani yako:

"Basi msifane na hao; maana Baba yenu anajua mnayohitaji kabla ninyi hamjamwomba" (Mathayo 6:8).

NGUZO MBILI ZA AMANI

David Wilkerson (1931-2011)

"Utamlinda yeye ambaye moyo wake umekutegemea katika Imani kamilifu, kwa kuwa anakutumaini ... Katika njia ya hukumu zako, sisi tumekungojea, Ee Bwana; shauku ya nafsi zetu inaelekea jina lako na ukumbusho wako" (Isaya 26:3, 8).

Wakati unakabiliwa na siku zenye changamoto, Shetani anataka kukuiba matumaini yote kwa kukuangamiza kupitia mawazo ya utabili. Unaweza kuinukia chini kwa ajali ya hofu ikiwa unajisikia kuhusu nyakati zisizo na uhakika, au kupoteza wakati kwa kujaribu kutafakari wakati ujao.

BABA YAKO ANASHIKILIA AHADI ZAKE

David Wilkerson (1931-2011)

Gethsemane ilikuwa ni bustani ambako Yesu alikwenda kuomba wakati kesi yake ilipoibuka na kikombe chake kilipomshinda. Ndio pale aliliaa kwa huzuni zake za kina mbele ya Baba. Na pia ni pale ambapo alishinda vita juu ya kila uovu na nguvu.

Wakristo wengine leo wanasema, "Kizazi chetu sio chenye machozi. Tumeitwa kusherehekea na kuamuru kuchukua kila kitu kwa imani. Tunaweza kusema Neno na kila mlima ukahamishwa. Tunapaswa tu kutafakari juu ya uzuri wa Mungu." Hiyo ndio mkao wa kanisa la kisasa la mafanikio.

NJE YA NYAKATI ZA GIZA

David Wilkerson (1931-2011)

Nabii Isaya anatuonya kwamba katika siku za mwisho Mungu ataka "kugeuza ulimwengu upunguke." Anasema, "Tazama, Bwana huifanya dunia kuwa tupu, na kuiharibu, na kuipindua" (Isaya 24:1, KJV). Kwa mujibu wa unabii huu, hukumu ya ghafla inakuja juu ya dunia na kila kitu ndani yake kitabadirika katika muda mfupi sana. Ubinadamu utashuhudia uharibifu wa haraka juu ya jiji na taifa, na ulimwengu hautakuwa sawa.

FANYA HILI NA UTAISHI!

Gary Wilkerson

Watu wengi wanasumbuliwa kwa sababu hata ingawa wana ujuzi mkubwa juu ya Neno la Mungu, wana uzoefu mdogo wa maisha wanaoishi. Mungu anatutaka tuwe na mahusiyano ya kile tunachokijua na jinsi tunavyoishi.

MSIMU WA KIPWA

Carter Conlon

Je! Huhisi kama ni muda mrefu tangu umesikia kutoka kwa Bwana? Je, anaonekana kuwa kimya wakati utimilifu wa ahadi zake alizowaambia mara moja hazipo mahali popote? Labda ulianza imani kamili, ukamwamini Mungu wakati alipokuambia, "Nitawaokoa. Mimi nitatumia maisha yako kwa ajili ya utukufu wangu." Wakati alipozungumza kwanza ahadi hizi, palikuwa furaha ya moyo wako na nguvu ya siku zako. Lakini sasa, kati ya kunyamanza kwa Mungu, unashangaa kilichotokea kwa neno lake juu yako.

​SOMO KUTOKA KWA MTINI

David Wilkerson (1931-2011)

Katika siku zake za mwisho za huduma yake, Yesu alikuwa akitumia muda pamoja na wanafunzi wake, akiwaandaa kuwa nguzo za kanisa lake la baadaye. Walikuwa bado "wanyenyekevu wa kuamini," watu wa imani kidogo, na Yesu alikuwa amewachochea kwa kutoamini wakati mwingine. Aliona kwamba kulikuwa na kizuizi katika mioyo yao ambayo ilihitaji kuondolewa au wasingeingia kamwe katika ufunuo muhimu kuongoza kanisa.

ANAACHA TISINI NA TISA

David Wilkerson (1931-2011)

"Ni nani kati yenu aliye na kondoo mia moja, akipoteza mmoja wao, asiache wale tisini na tisa jangwani, na kumfuata yule aliyepotea mpaka alipoipata?" (Luka 15:4). Yesu anasema hapa juu ya kondoo ambao imejikunja. Kwa wazi, hii inawakilisha mwanachama yuko kwenye kundi la wana kondoo wa Kristo, moja ambayo yamefanywa vizuri na inaongozwa na mchungaji mwenye upendo. Hata hivyo kondoo huu alikuwa amekwisha kupotea hivyo mchungaji alikwenda kuyitafuta.