KILIO KATIKA IMANI
Wakati uwepo wa Mungu unakosekana katika maisha ya mtu, vitu haviko katika hari nzuri kwa sababu hakuna sheria, uongozi au mafundisho ya haki ili kutumika kama miongozo ya kuishi. Kila mtu anakuwa sheria kwa nafsi yake, akifanya jambo lake mwenyewe. Kwa kusikitisha, hii ni picha ya nyumba nyingi za Kikristo leo. Hakuna amani au mapumziko kwa sababu kila mtu anafanya chochote anachopenda. Vulugu hii inaumiza saana Bwana, hata hivyo haifai kuwa hivyo. Uwepo wa Mungu huleta utaratibu na ahadi zake hazibadiliki. Neno la Mungu linaahidi, "Ikiwa utanitafuta, nitakuwa pamoja nanyi.