MUNGU ANATAKA WAPIGANAJI WA VITA WAKILA WAKATI
Jaribio ni mwaliko au mwongozo mubaya wa kufanya tendo la uovu. Hivi sasa Shetani anaandaa juu ya dunia kama simba anguruma akijaribu kuwashawishi Wakristo kuelekea uovu. Hakuna mtu aliye na kinga, na Zaidi ukipata kukaribia Mungu, zaidi Shetani atakuwa na hamu ya kukotowa kutoka kwake.