Body

Swahili Devotionals

MAPIGANO YENYE MANA

Gary Wilkerson

Kitabu cha Ayubu kinashughulikia maswali mengi ambayo haya mateso ya mtakatifu aliyopewa Baba yake wa mbinguni wakati wa dhiki kuu. Kwa nini alipitia mateso mengi? Kwa nini uhai wake ulikuwa usio wamaana wakati ulikuwa wenye matunda na ustawi? Nini iliokuwa na lengo gani ndani yake yote? Jibu la Mungu kwa Ayubu ni la ubunifu na la pekee kama anajibu na swali hili: "Je! Waweza wewe kumuvuwa mamba kwa ndoana?" (Yobu 41:1).

YULE ANAESIKIA MAOMBI

Jim Cymbala

Nyongeza ya kumfafanua Mungu kama Muumbaji, Msaidizi na Mfalme, Biblia pia humwita "Msikilizaji wa Maombi." Hii ni mojawapo ya maelezo mazuri sana ambayo kwa kweli nikama ya mwisho kwa kujulikana ya Bwana katika Maandiko: " Wewe usikiaye kuomba, wote wenye mwili watakulia." Au, zaidi ya kweli wa maandiko, "Msikilizaji wa Maombi, kwa wewe watu wote watakuja" (Zaburi 65:2).

AMINI USHINDI WA AHADI YA MUNGU

David Wilkerson (1931-2011)

Mungu ameamua kukamilisha malengo yake hapa duniani kupitia watu tu. Mojawapo ya maandiko yenye kuhimiza zaidi katika Biblia yako katika 2 Wakorintho 4:7: "Lakini tunahazina hii katika vyombo vya udongo, ili adhama kuu ya uwezo iwe ya Mungu, wala si kutoka kwa kwetu." Tena Paulo anaendelea kuelezea hivyo vyombo kutoka kwa udongo - watu waliokufa, vulugu kila upande, wasiwasi, kuteswa, kutengwa.

KUBURI KILICHOJERUHIWA

David Wilkerson (1931-2011)

Kwa majadiliano yote katika kanisa kuhusu msamaha, kurejeshwa, na uponyaji, kidogo sana inaonekana kuwa imeonyeshwa kweli na Wakristo. Sisi sote tunapenda kufikiria wenyewe kama watu wa amani, wainuwaji wa walioanguka, daima kusamehe na kusahau. Lakini hata wale wenye wanaingiya kiroho wana hatia ya kutoonyesha roho ya msamaha.

NI NINI KINACHOZUIA KAZI YA MUNGU NDANI YETU?

David Wilkerson (1931-2011)

"Basi nitasifia udhaifu wangu kwa furaha nyingi, ili nguvu za Kristo ziwe juu yangu" (2 Wakorintho 12:9). Mtume Paulo alikua dhaifu kwa sababu ya shida na dhiki lakini wakati alipotiwa chini, hakukata tamaa. Alifurahi katika mchakato wa kuwa dhaifu kwa sababu ilikuwa ni siri ya nguvu zake na Kristo, na kutokana na udhaifu huo akawa na nguvu.

WAKATI MSALABA NI MZITO SANA

David Wilkerson (1931-2011)

Ni kweli kwamba Yesu aliwaambia wanafunzi wake, "Mtu yeyote akitaka kunifata, na ajikane mwenyewe, na ajitwike msalaba wake kila siku, na anifuate" (Luka 9:23). Lakini Yesu akaanguka chini ya mzigo wa msalaba wake, kwa kuchoka, na hakuweza kubeba hatua nyingine. Yohana alisema, "Naye, akibeba msalaba wake, akatoka mahali paitwa ... Golgotha" (Yohana 19:17). Biblia haituambia ulefu wa mahali ambapoYesu alibeba msalaba wake, lakini tunajua kwamba Simoni, Mkirene, alilazimika kuichukua na kuichukua mahali pa kusulubiwa (ona Mathayo 27:32).

NICHAGUE BWANA, NAMI NITAFUATA

Gary Wilkerson

"Neno la Bwana lilimjia Yona mara ya pili" (Yona 3:1). Katika akaunti ya kawaida ya "Yona na nyangumi," Mungu alimwambia Yona kwenda katika mji mwovu Ninawi na kuhubiri hukumu kwao, lakini Yona hakumtii na akakimbia kutoka kwa sauti ya Bwana. Hata hivyo, katika aya hii tunaona kwamba neema na huruma ya Mungu ilifikia na kumpa fursa ya pili.

JUHUDI ZA KRISTO

Nicky Cruz

"Kwa maana kwangu mimi kuishi ni Kristo, na kufa ni faida" (Wafilipi 1:21). O, kila mmoja wetu anaweza kuwa na shauku ya kuishi kwa ajili ya Kristo iliyojaza Paulo. Moja kwa moja - kwa uongozi wa Roho Mtakatifu - alieneza Ukristo katika Dola ya Kirumi. Hakuwa na wasiwasi ikiwa angeishi au kufa, alitaka kuendeleza ufalme wa Mungu.

VYOMBO VYA UTUKUFU WA MUNGU

David Wilkerson (1931-2011)

Mungu hakukusahau wewe! Anajua hasa mahali ulipo, unachofanya nini hivi sasa, na anaangalia kila hatua kwenye njia yako. Mara nyingi wakati wa mgogoro, Wakristo husahau kwamba Mungu anao katika kigiganja cha mkono wake. Badala yake, kama wana wa Israeli, walivyoogopa kuwa wataangamizwa na adui. Mungu lazima avutie kuelewa kwa nini watoto wake hawakumwamini wakati wanapokuwa chini na wanahitaji. "Je! Hawajui kwamba mimi nimewandika kwenye kiganja cha mikono Yangu? Sikuweza tena kuwasahau katika saa yao ya mahitaji kuliko mama anaweza kumsahau mtoto wake mchanga" (angalia Isaya 49:15-16).

JE! WAKRISTO WANAWEZA KUKAA SAFI LEO?

David Wilkerson (1931-2011)

Je! Inawezekana Mkristo kukaa ndani ya usafi na kutakaswa katika ulimwengu unaojaa vurugu, uasherati, na rushwa? Au je, haiwezekani kwamba pepu mbaya ya wakati huu itawaangamiza watakatifu wa Mungu na kuwafadhaisha roho zao? Iliyotokea kwa Loti na familia yake huko Sodoma, na inafanyika kwa makundi ya Wakristo duniani kote. Majaribu anayo pita kipimo ya kizazi hiki mabaya yamesababisha idadi ya Wakristo kuacha na kuingiza katika vitendo vya uovu.