MWITO WA KUJA KWA UJASILI MBELE YA MUNGU
"Basi tukikalibie kiti cha neema kwa ujasiri, ili tupewe rehema, na kupata neema ya kutusaidia wakati wa mahitaji" (Waebrania 4:16). "Katika yeye tunao ujasiri na uwezo wa kukaribia katika tumaini kwa njia kuwamini" (Waefeso 3:12).