Body

Swahili Devotionals

ROHO INAENDELEZA KAZI KUWA HAI

Gary Wilkerson

"Petro, mtume wa Yesu Kristo, Kwa wale wateule wa Utawanyiko  wakaao hali ya ugeni katika  Ponto, Galatia, Kapadokia, Asia, na Bithynia, kama vile Mungu Baba, alivyotangulia kuwajua katika kutakaswa na Roho, hata mkapata kutii na kununyiziwa damu ya Yesu Kristo. Neema na: Neema na amani ziongezwe kwenu.

HUFANYA UDHAIFU KUWA UJASIRI KAMA SIMBA

Jim Cymbala

Mfalme Daudi alitaka kujenga hekalu huko Yerusalemu na kujenga jengo la ajabu kwa ajili ya Mungu, lakini Bwana akamwambia kuwa hawezi kuwa yeye atakalofanya hilo. Badala yake, Bwana akachagua mtoto wake Sulemani. Maafisa wote wa Israeli walikusanyika Yerusalemu na Daudi alitangaza mpango wa Mungu. "[Mungu] akaniambia: 'Sulemani mwana wako ndiye atakayeijenga nyumba yangu na nyua zangu'" (1 Mambo ya Nyakati 28:6).

KUKUMBUKA HURUMA YA YESU

David Wilkerson (1931-2011)

Inawezekana kusema, "Ninaamini Mungu anaweza kufanya jambo lisilowezekana," na tena unakuwa hauwezi kukubali miujiza ya Bwana kwa ajili yetu wenyewe kwa sababu ya moyo yenye kuwa na mashaka. Katika Mathayo tunaona Yesu akiingia ndani ya mashua akaenda "mahali pasipo watu" (14:13). Alikuwa amekwisha kupokea neno ambalo Yohana Mbatizaji kama alikuwa amekatwa kichwa, na alivutiwa sana na habari kwamba alihisi haja ya kuwa peke yake ili aomba. Hata hivyo, watu waliposikia kwamba Yesu alikuwa anaondoka, "wakamfuata kwa miguu kutoka mijini" (aya hiyo).

WAKATI PETRO ALISHINDWA MAMBO YAYESU

David Wilkerson (1931-2011)

Wakati fulani unaweza kujipata uhusiano wako na Mwokozi uko baridi na kuwa mbali. Kuangalia maisha ya mtume Petro hufunua kwamba alikanusha Kristo mara tatu, hata kufika mbali kwa kuwaambia waasi wake, "Simjui Yeye" (Luka 22:57). Mwanafunzi huyo alikuwa na uhakika wa uhusiano wake na Yesu na alikuwa amesema mwenyewe pamoja na wengine, "Sitawezi kukua nikwa baridi katika upendo wangu kwa Kristo. Wengine wanaweza kutembea mbali, lakini nitakufa kwa ajili ya Bwana wangu" (angalia Mathayo 26:35).

KUJILINDA DHIDI YA KURUDI NYUMA KUTOKA KWA KRISTO

David Wilkerson (1931-2011)

Inawezekana kwa Wakristo kuwa wanazarawu mambo ya kiroho, kushikiliwa nakutokuomba, kupitia siku yote bila kutafuta Neno la Mungu. Naam, Biblia inaonya kwa wazi kwamba inawezekana kwa waumini wenye kujitolea kujitowa kwa Kristo na inatoa maonyo yenye nguvu juu ya kujilinda usingizi katika saa ya usiku wa manane: "Kwa hiyo imetupasa kuyaangilia zaidi ya hayo yaliosikiwa tusije tukayakosa. Kwa maana ikiwa lile neno lililonenwa na malaika lilikuwa imara, na kila kosa uasi ulipata ujira wa haki, sisi je! Tutapataje kupona tusipojali wokovu mkuu namna hii?" (Waebrania 2:1-3).

WATU AMBAO MUNGU ANAJIVUNIA

Gary Wilkerson

"Kwa maana wakati umefika wa hukumu kuanza katika nyumba ya Mungu" (1 Petro 4:17). Mungu anataka kanisa safi ili tuweze kuwa watu ambao anatamani sana kwamba sisi tuwe safi na wasioambukizwa na ulimwengu. Anataka kufanya kazi ya kina ndani yetu ili kutusaidia na kutufanya kuwa watakatifu, ni Mungu wa ajabu tunayemtumikia.

YEYE ANATUOMBA KUFUATA TU

Nicky Cruz

Hakuna kitu kinachosisimua kama kutembea kila siku na Roho Mtakatifu. Kuhamia na kupumua nguvu za Mungu. Kusikiliza kwa sauti inayokuja kwenye akili yako, kisha kuitii chochote angependa. Kwenda popote atakapokuambia kwenda. Na kusema kile anachokuambia kusema. Kumtumikia mahari popote anapokuweka katika njia yako. Kunywa kutoka kisima cha ujuzi wake kwa kuchangia hilo ndani ya moyo wako na mawazo yako.

"Roho hutoa uzima; mwili haufai kitu. Maneno niliyowaambia – ni roho na uzima" (Yohana 6:63).

MIONGOZO MIWILI YA KUTEGEMEA MUNGU

David Wilkerson (1931-2011)

Hakuna mwongozo wa kuishi kabisa kwa kutegemea Bwana, lakini kuna miongozo rahisi ambayo unaweza kufikiria. Kwanza, kuwa na uhakika kwamba Bwana anahamu na nia ya kufanya mapenzi yake ajulikane kwako, hata katika maelezo mafupi ya maisha yako. Roho Mtakatifu anayeishi ndani yaku anajua mapenzi ya Mungu kwa ajili yako na atakuelekeza, atakuongoza na atazungumza na wewe.

KUSHIRIKIANA WUPENDO WA YESU

David Wilkerson (1931-2011)

Yesu aliwaambia wanafunzi wake, "Ni mimi niliyewachagua ninyi, nikawaweka mwende mkuzae matunda" (Yohana 15:16). Kisha haraka aliongeza maneno haya mazuri: "Kwa kuwa matunda yenu yanapaswa kubaki." Maneno haya ya Kristo yanaohusu wanafunzi wake anafaa hata leo. Anasema, kwa kweli, "Hakikisha kwamba matunda yako anadumu."