Body

Swahili Devotionals

YESU TAYARI ANATAWALA KAMA MFALME!

David Wilkerson (1931-2011)

Nebukadneza akaweka sanamu ya ngo’ombe ya dhahabu huko Babiloni na akaomba iabudiwe. Kila afisa, kila kiongozi na kila raia katika mikoa mia moja ya Babiloni walipaswa kuanguka chini mbele ya mungu huu au kukabiliana na kifo – kwa kuchomwa hai ndani ya tanuru. Hata hivyo, Wayahudi watatu waaminifu katika ufalme walikataa kuinama, na mfalme akawa na hasira na akawatupa kwenye tanuru la moto.

KUSHINDWA KUONA DHAMBI YETU WENYEWE

David Wilkerson (1931-2011)

"Mtu mmoja katika Mafarisayo alimwalika [Yesu] ale chakula kwake; akaingia katika nyumba yake yule Mfarisayo, akaketi chakulani. Na tazama, mwanamke mjini aliyekuwa mwenye dhambi, alipojua kwamba Yesu ameketi mezani ndani ya nyumba ya Mfarisayo. Na tazama, mwanamke mmoja wa mji ule, aliyekuwa mwenye dhambi, alipopata habari ya kuwa ameketi chakulani katika nyumba ya yule Mfarisayo, alileta chupa ya marimari yenye harufu nzuri.

KANUNI YA YESU

Gary Wilkerson

"Je! Siyo mafungo niliyoichguwa, siyo ya namna hii? Kufungua vifungo vya uovu, kuzilegeza Kamba za nira, kuwaachia huru walioonewa, na kwambwa muvunje kila nira?" (Isaya 58:6).

Mungu ataachili kitu kisicho na kawaida kupitia maombi na kufunga. Isaya 58:10 inatuambia, "Na kama unamukunjulia mtu mwnye njaa nafsi ilioteswa; ndipo nuru yako, takapo pambazuka gizani; na kiwi chako kitakuwa kama adhuhuri."

KUMTEGEMEA MUNGU PAMOJA NA MAISHA YAKO YOTE YA KESHO

David Wilkerson (1931-2011)

Bwana alimtokea Ibrahimu na kumpa amri ya ajabu: "Ondoka kutoka nchi yako, kutoka kwa familia yako, na kutoka kwa nyumba ya baba yako, uende mpaka nchi nitakaokunyesha" (Mwanzo 12:1).

Anagalia jinsi inavyoshangaza! Ghafla, Mungu alimchugua mtu na kumwambia, "Nataka wewe uamke na uende, uache kila kitu nyuma: nyumba yako, ndugu zako, hata nchi yako. Ninataka kukutuma mahali fulani na nitakuelekeza jinsi ya kufika huko kupitia njia."

MATUMAINI YETU KAMA VITU VYOTE VINAUMBAUMBA

David Wilkerson (1931-2011)

Yesu anatuambia nini tunachotakiwa kufanya wakati tunapoanza kuona uchungu duniani: "Tena kutakuwa na ishara katika jua, na mwezi, na nyota; na katika nchi dhiki ya mataifa wakishangaa kwa uvumi bahari na msukosuko wake; watu wakivunjika mioyo kwa hofu, na kwa kutazamia mabo yatakaoupata ulimwengu kwa kuwa nguvu za mbinguni zitatikisika. Hapo ndipo watakapomwona Mwana wa Adamu akija katika wingu pamoja na nguvu na utukufu mkubwa. Basi mambo hayo yaanzapo kutokea, changamkeni, mkaviinue vichwa vyenu, kwa sababu ukombozi wenu utakuwa unakaribia" (Luka 21:25-28).

HAMU KUBWA KATIKA MOYO WA MUNGU

David Wilkerson (1931-2011)

Yesu anaelezea hadithi ya kijana ambaye alichukua sehemu yake ya urithi wa baba yake na kuiharibu katika maisha ya kujifur ahisha. Alimaliza kuvunja, akaharibiwa katika afya na roho, na katika hali yake ya chini kabisa aliamua kurudi nyumbani kwa baba yake. Andiko linasema, "Akaondoka, akaenda kwa babaye. Alipokuwa anagli mbali, baba yake alimwona, akamwonea huruma, akaenda mbio akamwangukia shingoni, akambusu sana" (Luka 15:20).