JE! UNAAMINI ULINDAJI WA MUNGU?
Kuna wakati kunaonekana kama Mungu hajajidhihirisha - wakati watu wake wameachwa kwa aibu na kukata tamaa - lakini hadithi kamili bado haijaambiwa. Katika Bibilia yote Mungu amekuwa na watu ambao imani kama-marumaru ilithibitisha uaminifu wake wakati wa nyakati ngumu zaidi. Watumishi hawa, bila woga, walimuachia Bwana kutenda.