MUNGU AMBAYE ANAERUDISHA MIAKA ILIOPOTEA
"Nami nitawarudishia hiyo miaka ilioliwa na nzige" (Yoeli 2:25).
Je! Ulipoteza miaka kabla ya kutubu na kujisalimisha yote kwa Yesu? Unaweza kufikiria, "Mimi ningeweza kuwa zaidi ndani ya Kristo. Ningeweza kumletea furaha nyingi moyoni mwake. Siwezi kamwe kumaliza miaka yote hiyo ya kupita."