Body

Swahili Devotionals

RUDIA NA UTAFUTE USO WAKE

Gary Wilkerson

Waumini wengine huomba tu wakati wanapoadhibiwa na Mungu. Wao wakishawishiwa na hujisikia vibaya na ndio wanaanza kuanza kuomba, na kisha hatua kwa hatua kusahau kuomba tena. Biblia inasema, "Lakini watu wangu waminisahau mimi kwa muda wa siku zisizo na hesabu" (Yeremia 2:32).

SI KITU CHA BULE KUTOKA KWA ONYO

Carter Conlon

Mtume Petro alitoa neno la onyo kwa watu wa Mungu: "Wapendwa, musione kuwa nia ajabu ule msiba ulio kati yenu, unaowapata kama moto ili kuwajaribu, kana kwamba nikitu kigeni kiwapatacho. Lakini kama mnavyoyashiriki mateso ya Kristo, furahini; ili na katika ufunuo wa utukufu wake mfurahi kwa shangwe" (1 Petro 4:12-13).

Aina hii ya ujumbe inaweza kuwa ngumu sana kukumbatia wakati wa amani. Watu wa Mungu wanaweza kukua kwa urahisi na kuwasahau kuwa wanaishi katikati ya jamii ambayo inaweza ghafla, hata kwa ukali, inapingana na Kristo na wafuasi wake.

UTUKUFU WAMILELE UNAOONGEZEKA

David Wilkerson (1931-2011)

Akawaambia, "Angalieni msikialo; kipimo kile mpimacho ndicho mtakachopimwa, na tena mtazidishiwa" (Marko 4:24).

Yesu alijua maneno haya kuwa anaweza kusikiwa kama ya ajabu kwa masikio ya kiroho, kwa hiyo alianza ujumbe wake kwa kusema, "Mtu akiwa na masikio ya kusikia, asikie" (4:23). Alikuwa akituambia, kwa kweli, "Ikiwa moyo wako ni wazi kwa Roho wa Mungu, utaelewa kile nitakachokuambia."

ISIWE MUJINGA, YESU ANATAWALA

David Wilkerson (1931-2011)

Yesu anawalazimisha mataifa ya ulimwengu. Biblia inatuambia, "Atawala kwa uwezo wake milele; macho yake yanaangalia mataifa; waasi wasijitukuze nafisi zao" (Zaburi 66:7). "Bwana ameweka kiti chake cha enzi mbinguni, na ufalme wake unavitawala vitu vyote" (Zaburi 103:19).

USIOGOPE

David Wilkerson (1931-2011)

Bwana ana subira sana kwa watoto wake. Kwa kweli anatualika, "Toeni hoja zenu zenye nguvu" (Isaya 41:21), maana yake ni vizuri kuwa na muda wa kuhoji. Tunaweza kupata habari za ghafla na zenye kutisha - kifo cha mpendwa, kutaka talaka ya mwana au binti, uaminifu wa mwenzi. Wakati huo, Mungu anatuma Roho Mtakatifu kutuletea faraja, kupunguza maumivu yetu, na kutuliza mioyo yetu. Bwana wetu anahisi kila maumivu, hofu na wasiwasi ambayo inatupiga.

PESA YA KODI NDANI YA KINYWA CHA SAMAKI!

David Wilkerson (1931-2011)

Mungu anaweza kurejesha chochote kilichoonekana kilikufa katika maisha yetu kwa neno moja tu. Je! Una matatizo ya kifedha, hauwezi kulipa bili yako? Hivyo vilifika wakati Bwana arikuwa pamoja na wanafunzi wake.

Wakati wa kodi ulipofika, Kristo na wanafunzi wake hawakuwa na pesa kulipa kiasi kinachohitajika. Basi, Bwana alifanyaje kwa kukerebesha hali hiyo? Alimtuma Petro kwenda kuvua samaki. "Nenda baharini, ukatupe ndoano, na uchukue samaki unaokuja kwanza. Na ukifunguwa mdomo wake, utaona chekeli; ichukuwe hiyo ukawape kwa ajili yangu na kwa ajili yako" (Mathayo17:27).

HATA VUMBI LITAONDOLEWA

Gary Wilkerson

Mungu anatafuta waumini ambao wanahamu ya kuwa watakatifu kabisa. Zefania 1:2 inasema, "Nitatafuta Yerusalemu na taa." Hii ina maana kwamba anakuja, kama ilivyokuwa, akiwa na taa zinazoangalia kona, kuangalia maeneo ya chini na mahali ambapo mtu hawezi kwenda. Anatafuta mioyo yetu, akiangalia kwa urefu, akichunguza tasa na dhambi zisizojulikana - dhambi zenye kutoguswa na zenye zisiotubiwa.

HURUMA KUBWA YA YESU

Nicky Cruz

Yesu alipomuhubilia mwanamke msamaria kwenye kisima, alimpa kitu ambacho angeweza kupata mahali pengine - "maji yaliyo hai." akamwambia, "kila mtu atakayenywa maji haya [ya kimwili] atakuwa na kiu tena, lakini yeyote atakayekunywa maji yale nitakayompa mimi hatakua nakiu tena milele; bali yale maji nitakayompa yatakayompa yatakuwa ndani yake chemchemi ya maji, yakibubujikia uzima wa milele" (Yohana 4:13-14).

JE! NINAKUA ZAIDI KAMA YESU?

David Wilkerson (1931-2011)

Je, unakua katika neema? Kwa mimi, neema ni uwezo wa Roho Mtakatifu kuwa zaidi kama Yesu; Kwa hiyo, kukua katika neema inamaanisha kuongezeka kwa ukristo kwa njia ya nguvu ya Roho wa Mungu usiofaa wewe. Basi nirudie swali: Je, unategemea Roho Mtakatifu ili akufanye uwe kama Yesu - nyumbani, kazi, katika mahusiano?

TUNAWEZAJE KUDUMISHA FURAHA?

David Wilkerson (1931-2011)

"Furaha ya Bwana ni nguvu yako" (Nehemia 8:10). Wakati huo maneno hayo yalitangaziwa, Waisraeli walikuwa tu wemetoka utumwani huko Babeli. Chini ya uongozi wa Ezra na Nehemiya, watu walikuwa wamejenga kuta za Yerusalemu zilizoharibiwa, na sasa wameweka vitu vyao vya kurejesha hekalu na kurejesha taifa hilo.